Ujangili ni tatizo kubwa katika bara la afrika,ujangili umepunguza idadi ya wanyama pori
Serikali za nchi za afrika zimekuwa zikitumia njia mbalimbali katika kukabiliana na janga la ujangili,ie ushirikishwaji wa wananchi waishio kandokando ya hifadhi za wanyama pori,utungaji na ufuatiliaji wa sheria ndogondogo nk.
Mtanzania na mwafrika mwenzangu,wanyama pori ni rasilimali muhimu sana na urithi wetu tulioachiwa na mababu zetu,hata sisi tunajukumu la kulinda na kuendeleza mambo yote yahusuyo wanyama pori na mazingira yao kwa faida ya kizazi cha sasa na cha baadae.
Mimi napinga ujangili,naunga mkono juhudi za serikali na mashirika mbalimbali katika vita dhiidi ya ujangili.
Penda nchi yako,penda afrika yako,wapende wanyama pori wetu kwa manufaa ya kizazi cha sasa na cha baadae.SEMA HAPANA KWA UJANGILI
Hi every body,it's wednesday again,let's talk a little bit about african wild life Africa we have a vast range of wild life that cannot found anywhere in the world,different species of animals and trees,from the innocent gazel to the big fives These animals together with their sorroundings needs our support so as can provide us with the maxmum benefits Our wildlife contribute alot to our social economy activities,i.e our nations get alot of money from tourism,and that money goes either directly or indirect to our societies,like schools for the kids,hospitals and other development projects like roads,water supplies, etc We need to join our efforts,to protect,defend and conserve our wildlife for us and the future generation,everybody in his/her position,leaders and the societies in general,together we can can make the changes we want,love your country,conserve our wildlife
Comments
Post a Comment